
Longhorn Secondary Physics, Teacher’s Guide senior 3
May 11, 2023
Cambridge Advanced Learner’s Dictionary
May 31, 2023Kamusi ya Wanafunzi
UGX 38,000
Kamusi ya wanafunzi ya Kiswahili – kiingereza ni kamusi inayowalenga wanafunzi wa ligha zote mbili ambao hawajapata umilisi kamili wa lugha mojawapo au ambao ndio kwanza wanaanza kujifunza Kiswahili. LLi kutimiza lengo hili, kamusi hii inayosisitiza ‘uwili lugha’ imepangwa kwa ustadi mkubwa ili kuwapa wasomaji wake msamiati wa msingi wa lugha zote mbili; ikianza na Kiswahili ambayo ndiyo lugha kuu ya mawasiliano (Lingua Franka) ya watu wa Afrika Mashariki na eneo la maziwa makuu.
Mpangilio wa vidahizo, tafsiri na maelezo na mifano ya matumizi ya vidahizo katika sentensi ni nakshi inayoamsha hamu ya msomaji mara moja. Katika mpangilio huu, maelezo na msamiati wa msingi wa lugha hizi mbili, ikianza na kidahizo katika Kiswahili, kategoria ya neon, (yaani: kitenzi, kivumishi, kielezi n.k), ngeli (katika nomino), kasha kisawe cha kiingereza, mifano yanjeo, na matumizi katika sentensi yametolewa.
Baadhi ya yanayodhihirisha upekee wa kamusi hii ni pamoja na:
- Misamiati katika lugha mbili – Kiswahili na kiingereza
- Usarufi wa maneno kupita vitengo na kategoria zake
- Mifano ya sentensi kwa kila kidahizo
- Mwainisho wa visawe, vitawe na vitate
- Mifano ya methali na misemo mbalimbali
- Picha na michoro anuwai nay a kupendeza kwa vidahizo kadha
- Picha na michoro mbalmbali ya miti, mimea na matunda mbalimbali
Kamusi hii imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na mwanaleksikografia mwenye utalaamu na uzoefu wa miaka mingi. Hii ni dafina kuu kwa wanafunzi wote wanaopenda kufahamu na kuwa na umillisi kamili na utendaji wa lugha ya Kiswahili.
Kamusi ya wanafunzi ya Kiswahili – kiingereza ni kamusi inayowalenga wanafunzi wa ligha zote mbili ambao hawajapata umilisi kamili wa lugha mojawapo au ambao ndio kwanza wanaanza kujifunza Kiswahili. LLi kutimiza lengo hili, kamusi hii inayosisitiza ‘uwili lugha’ imepangwa kwa ustadi mkubwa ili kuwapa wasomaji wake msamiati wa msingi wa lugha zote mbili; ikianza na Kiswahili ambayo ndiyo lugha kuu ya mawasiliano (Lingua Franka) ya watu wa Afrika Mashariki na eneo la maziwa makuu.
Mpangilio wa vidahizo, tafsiri na maelezo na mifano ya matumizi ya vidahizo katika sentensi ni nakshi inayoamsha hamu ya msomaji mara moja. Katika mpangilio huu, maelezo na msamiati wa msingi wa lugha hizi mbili, ikianza na kidahizo katika Kiswahili, kategoria ya neon, (yaani: kitenzi, kivumishi, kielezi n.k), ngeli (katika nomino), kasha kisawe cha kiingereza, mifano yanjeo, na matumizi katika sentensi yametolewa.
Baadhi ya yanayodhihirisha upekee wa kamusi hii ni pamoja na:
- Misamiati katika lugha mbili – Kiswahili na kiingereza
- Usarufi wa maneno kupita vitengo na kategoria zake
- Mifano ya sentensi kwa kila kidahizo
- Mwainisho wa visawe, vitawe na vitate
- Mifano ya methali na misemo mbalimbali
- Picha na michoro anuwai nay a kupendeza kwa vidahizo kadha
- Picha na michoro mbalmbali ya miti, mimea na matunda mbalimbali
Kamusi hii imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na mwanaleksikografia mwenye utalaamu na uzoefu wa miaka mingi. Hii ni dafina kuu kwa wanafunzi wote wanaopenda kufahamu na kuwa na umillisi kamili na utendaji wa lugha ya Kiswahili.
Shilk
Related products
-
Cambridge Advanced Learner’s Dictionary
UGX 67,000For upper-intermediate to learners of English.
Ideal for IELTS, BEC, and Cambridge English: First, Advanced, and Proficiency exam preparation.
With clear definitions and over 140,000 words, phrases, meanings, and examples, plus hundreds of pictures and illustrations, this dictionary is perfect as a reference tool and as study companion.
Informed by the Cambridge International corpus and correlated to English vocabulary profile, it is perfect for exam preparation.
- NEW! Focus on writing section deals with all the essential aspects of academic, formal and informal writing.
- NEW! Up-to-date vocabulary includes words from the areas of technology, media, language, society, and lifestyle, plus important words for academic study.
- Learner error information shows the most common errors made by learners of English, so that you can avoid making the same mistakes.
- English vocabulary profile correlation shows which words and meanings are known by learners at what level, so you can prioritize your vocabulary learning.
-
Cambridge Learner’s Dictionary
Ideal for intermediate learners of English.
NEW! English Vocabulary profile levels: all words and phrases at CEFR level A1 to B2 are shown with a level indicator, helping you to decide which words to learn first.
NEW! A section on common learner errors at particular CEFR levels helps you to avoid common mistakes in exams.
- More than 35,000 definitions and hundreds of new words
- Definitions are written in clear, simple English.
- Thesaurus boxes help you to expand your vocabulary
- Common learner error boxes, based on learner errors from the Cambridge English corpus, show you the most the most common mistakes and how to correct them.
- Over 1,000 word partner boxes show the important collocations that will help you to produce more natural sounding English.
UGX 40,000Original price was: UGX 40,000.UGX 35,000Current price is: UGX 35,000.
Reviews
There are no reviews yet.