
General Science, Learner’s Book senior 4
May 4, 2023
Longhorn Secondary Physical Education, Learner’s Book senior 4
May 5, 2023Kiswahili Learner’s Book 4
UGX 20,000
Kitabu hiki cha Longhorn ni kitabu cha Kiswahili kwa mwanafunzi wa kidato cha nne. Ni kitabu kipya cha shule za sekondari chenye mafunzo mwafaka ya mwanafunzi na kimeidhinishwa na wizara ya elimu na michezo ili kutumiwa katika shule za sekondari nchini Uganda. Kitabu hiki kinatimiza malengo yote ya mtaala mpya wa Kiswahili wa daraja la chini katika shule za sekondari nchini Uganda, mtaala ambao mwanafunzi anastahili kufuata katika utekelezaji mwafaka wa mafunzo yaliyomo.
Kitabu hiki ni cha kipekee kwa kuwa kinamshurutisha mwanafunzi kutekeleza mafunzo yote yaliyomo kitabuni kwa kutumia mbinu zote zinazohitajika kwa mwanafunzi kujifunza. Mbinu zilizomo kitabuni zinashirikisha wanafunzi wote kujifunza Kiswahili kupitia; mada zilizopangwa vizuri na kwa utaratibu kuhusu hali ya mpito kutoka kwa dhana moja hadi nyingine, kazi angavu iliyofungamanishwa na michoro kuongeza ufahamu zaidi, shughuli kadhaa za kiudadisi ndani na nje ya darasa, majaribio na ufafanuzi wa kutumia nyenzo za kawaida zipatikanazo katika mazingira ya mwanafunzi, shughuli jumlishi za kufanywa mwishoni mwa mwa kila mada kuu, na uchoraji wa mazingira rahisi ya mwanafunzi yanayomwezesha kuelewa dhana kwa urahisi.
Kitabu cha sekondari cha Longhorn, kitabu cha mwanafunzi, kidato cha nne, kimeandikwa kwa utondoti kwa kuzingatia mahitaji yote ya silabasi ya kidato cha nne. Wandishi wa kitabu hiki ni walimu wenye tajriba pana ya ufundishaji wa lugha ya Kiswahili darasani. Wamefundisha Kiswahili kwa ngazi tofauti za elimu nchini Uganda kama vile; shule za sekondari, vyuo vya walimu wa shule msingi na za sekondari, vyuo vikuu kwa miaka mingi. Mwanafunzi atakayekisoma kwa makini na kufuata maagizo yaliyomo atajifunza Kiswahili kwa urahisi na kupata umilisi ulionuiwa.
Kitabu hiki cha Longhorn ni kitabu cha Kiswahili kwa mwanafunzi wa kidato cha nne. Ni kitabu kipya cha shule za sekondari chenye mafunzo mwafaka ya mwanafunzi na kimeidhinishwa na wizara ya elimu na michezo ili kutumiwa katika shule za sekondari nchini Uganda. Kitabu hiki kinatimiza malengo yote ya mtaala mpya wa Kiswahili wa daraja la chini katika shule za sekondari nchini Uganda, mtaala ambao mwanafunzi anastahili kufuata katika utekelezaji mwafaka wa mafunzo yaliyomo.
Kitabu hiki ni cha kipekee kwa kuwa kinamshurutisha mwanafunzi kutekeleza mafunzo yote yaliyomo kitabuni kwa kutumia mbinu zote zinazohitajika kwa mwanafunzi kujifunza. Mbinu zilizomo kitabuni zinashirikisha wanafunzi wote kujifunza Kiswahili kupitia; mada zilizopangwa vizuri na kwa utaratibu kuhusu hali ya mpito kutoka kwa dhana moja hadi nyingine, kazi angavu iliyofungamanishwa na michoro kuongeza ufahamu zaidi, shughuli kadhaa za kiudadisi ndani na nje ya darasa, majaribio na ufafanuzi wa kutumia nyenzo za kawaida zipatikanazo katika mazingira ya mwanafunzi, shughuli jumlishi za kufanywa mwishoni mwa mwa kila mada kuu, na uchoraji wa mazingira rahisi ya mwanafunzi yanayomwezesha kuelewa dhana kwa urahisi.
Kitabu cha sekondari cha Longhorn, kitabu cha mwanafunzi, kidato cha nne, kimeandikwa kwa utondoti kwa kuzingatia mahitaji yote ya silabasi ya kidato cha nne. Wandishi wa kitabu hiki ni walimu wenye tajriba pana ya ufundishaji wa lugha ya Kiswahili darasani. Wamefundisha Kiswahili kwa ngazi tofauti za elimu nchini Uganda kama vile; shule za sekondari, vyuo vya walimu wa shule msingi na za sekondari, vyuo vikuu kwa miaka mingi. Mwanafunzi atakayekisoma kwa makini na kufuata maagizo yaliyomo atajifunza Kiswahili kwa urahisi na kupata umilisi ulionuiwa.
Related products
-
LONGHORN Primary English Pupil’s Book 4
UGX 18,000LONGHORN Primary English Pupil’s Book 4
Author : Jacinta Kunihira et al -
LONGHORN Thematic English Pupils’ Book 2
LONGHORN Thematic English Pupils’ Book 2
Author : Alice Ariho & Rose Mweyogereze
UGX 20,000Original price was: UGX 20,000.UGX 15,000Current price is: UGX 15,000. -
Longhorn Secondary Islamic Religious Education, Learner’s Book senior 4
UGX 18,000Longhorn Secondary Islamic Religious Education, Learner’s Book senior 4, is a new course Learner-Instruction Book that has been recommended by the Ministry of Education and Sports, for use in Uganda Secondary Schools. It fulfils all the goals and targets of the Lower Secondary Islamic Religious Education Curriculum in Uganda, which the learner must follow for effective execution of the course content.
Longhorn Secondary Islamic Religious Education, Learner’s Book senior 4, is unique, in that it allows a thorough implementation of all course content by the learners, while using all learner-centered teaching methodologies, which in turn, promote the participation for all, in learning Islamic Religious Education through:
- Well-organised topics which are sequentially presented, to allow transition from one concept to the next.
- Demonstrative integration of text and illustrations to boost understanding.
- Numerous indoor and outdoor activities which are investigative.
- Experimentation and demonstration using locally available materials.
- Work-to-do exercises within the activities and at the end.
- Islamic Religious Education -related games which make learning Islamic Religious Education interesting, and enjoyable for all.
- A user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment for easier understanding of the concepts.
Longhorn Secondary Islamic Religious Education, Learner’s Book Senior 4, is detailed and comprehensively covers all the Learning outcomes tabulated in the Senior 4 Islamic Religious Education syllabus. The authors are experts in Islamic Religious Education, and are classroom teachers, who have taught Islamic Religious Education for many years. They have brought their vast experience into play in this book.
-
Longhorn Secondary Agriculture, Learner’s Book senior 4
Longhorn Secondary Agriculture, Learner’s Book senior 4, is a new course Learner-Instruction Book that has been recommended by the Ministry of Education and Sports, for use in Uganda Secondary Schools. It fulfils all the goals and targets of the Lower Secondary Agriculture Curriculum in Uganda, which the learner must follow for effective execution of the course content.
Longhorn Secondary Agriculture, Learner’s Book senior 4, is unique, in that it allows a thorough implementation of all course content by the learners, while using all learner-centered teaching methodologies, which in turn, promote the participation for all, in learning Agriculture through:
- Well-organised topics which are sequentially presented, to allow transition from one concept to the next.
- Demonstrative integration of text and illustrations to boost understanding.
- Numerous indoor and outdoor activities which are investigative.
- Experimentation and demonstration using locally available materials.
- Work-to-do exercises within the activities and at the end.
- Agriculture -related games which make learning Agriculture interesting, and enjoyable for all.
- A user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment for easier understanding of the concepts.
Longhorn Secondary Agriculture, Learner’s Book Senior 4, is detailed and comprehensively covers all the Learning outcomes tabulated in the Senior 4 Agriculture syllabus. The authors are experts in Agriculture, and are classroom teachers, who have taught Agriculture for many years. They have brought their vast experience into play in this book.
UGX 25,000Original price was: UGX 25,000.UGX 22,000Current price is: UGX 22,000. -
Kiswahili Teacher’s Guide
UGX 35,000Kiswahili Teacher’s Guide 3
Kitabu hiki cha Kiswahili cha Longhorn ni mwongozo wa mwalimu wa kidato cha tatu. Kitabu hiki cha mwongozo kimeandaliwa kama mkakati mpya wa kumwongoza mwalimu anapoelekeza wanafunzi katika masomo. Kitabu hiki kilipendekezwa na kukubaliwa na wizara ya elimu na michezo kwa matumizi katika shule za sekondari nchini Uganda ili kumwongoza mwalimu katika ufundishaji. Kinakidhi malengo na mahitaji yote ya mtaala mpya wa Kiswahili kwa shule za sekondari nchini Uganda. Kwa hiyo, mwalimu anafaa kukifuatilia kama mwongozo mwafaka wakati wa kutekeleza ufundishaji wa Kiswahili katika kidato cha tatu.
Mwongozo huu wa Kiswahili wa Longhorn kwa mwalimu wa kidato cha tatu una ufumbuzi wa kipekee kwa vile unamsaidia mwalimu kutekeleza na kuendeleza mfululizo wa mafunzo ya Kiswahili kwa matumizi ya mbinu zinazohusisha wanafunzi kushiriki kikamilifu katika mafunzo yanayotolewa darasani ipasavyo kwa: mafunzo yaliyopangwa kiutaratibu kuhusu dhana zinazohusika, maelezo mwafaka ya matini zilizounganishwa vyema kwa uelewa wa wanafunzi, shughuli kadha wa kadha za kufanywa ndani na nje ya darasa kuwasaidia wanafunzi kuwa na ari ya udadisi, matumizi ya vifaa vya kawaida vinavyojulikana kwa wanafunzi katika mazingira yao, mazoezi mwafaka yanayoandamana na mafunzo na shughuli jumlishi mwishoni mwa mada kuu husika pamoja na mkakati mwafaka wa kirafiki unaolenga wanafunzi kuwa washiriki katika mchakato wa kujifunza.
Longhorn imeandaa mwongozo huu wa mwalimu wa kidato cha tatu ili kumwezesha mwalimu kukuza umilisi wa wanafunzi wa kuelewa dhana madhubuti, kudadisi na kupata maarifa, na mahitaji yote ya mtaala mpya ili kuwe na matokeo bora ya silabasi ya Kiswahili kwa kidato cha tatu.
Wandishi wa kitabu hiki cha mwongozo wa mwalimu ni walimu hodari wa Kiswahili ambao wamefundisha Kiswahili darasani kwa miaka mingi. Uzoefu wao umechangia sana katika usanifu wa mwongozo huu wa kuridhisha.
Reviews
There are no reviews yet.