
Longhorn Secondary Islamic Religious Education, Teacher’s Guide senior 3
May 11, 2023
Longhorn Secondary Mathematics, Teacher’s Guide senior 3
May 11, 2023Kiswahili Teacher’s Guide
UGX 35,000
Kiswahili Teacher’s Guide 3
Kitabu hiki cha Kiswahili cha Longhorn ni mwongozo wa mwalimu wa kidato cha tatu. Kitabu hiki cha mwongozo kimeandaliwa kama mkakati mpya wa kumwongoza mwalimu anapoelekeza wanafunzi katika masomo. Kitabu hiki kilipendekezwa na kukubaliwa na wizara ya elimu na michezo kwa matumizi katika shule za sekondari nchini Uganda ili kumwongoza mwalimu katika ufundishaji. Kinakidhi malengo na mahitaji yote ya mtaala mpya wa Kiswahili kwa shule za sekondari nchini Uganda. Kwa hiyo, mwalimu anafaa kukifuatilia kama mwongozo mwafaka wakati wa kutekeleza ufundishaji wa Kiswahili katika kidato cha tatu.
Mwongozo huu wa Kiswahili wa Longhorn kwa mwalimu wa kidato cha tatu una ufumbuzi wa kipekee kwa vile unamsaidia mwalimu kutekeleza na kuendeleza mfululizo wa mafunzo ya Kiswahili kwa matumizi ya mbinu zinazohusisha wanafunzi kushiriki kikamilifu katika mafunzo yanayotolewa darasani ipasavyo kwa: mafunzo yaliyopangwa kiutaratibu kuhusu dhana zinazohusika, maelezo mwafaka ya matini zilizounganishwa vyema kwa uelewa wa wanafunzi, shughuli kadha wa kadha za kufanywa ndani na nje ya darasa kuwasaidia wanafunzi kuwa na ari ya udadisi, matumizi ya vifaa vya kawaida vinavyojulikana kwa wanafunzi katika mazingira yao, mazoezi mwafaka yanayoandamana na mafunzo na shughuli jumlishi mwishoni mwa mada kuu husika pamoja na mkakati mwafaka wa kirafiki unaolenga wanafunzi kuwa washiriki katika mchakato wa kujifunza.
Longhorn imeandaa mwongozo huu wa mwalimu wa kidato cha tatu ili kumwezesha mwalimu kukuza umilisi wa wanafunzi wa kuelewa dhana madhubuti, kudadisi na kupata maarifa, na mahitaji yote ya mtaala mpya ili kuwe na matokeo bora ya silabasi ya Kiswahili kwa kidato cha tatu.
Wandishi wa kitabu hiki cha mwongozo wa mwalimu ni walimu hodari wa Kiswahili ambao wamefundisha Kiswahili darasani kwa miaka mingi. Uzoefu wao umechangia sana katika usanifu wa mwongozo huu wa kuridhisha.
Kiswahili Teacher’s Guide 3
Kitabu hiki cha Kiswahili cha Longhorn ni mwongozo wa mwalimu wa kidato cha tatu. Kitabu hiki cha mwongozo kimeandaliwa kama mkakati mpya wa kumwongoza mwalimu anapoelekeza wanafunzi katika masomo. Kitabu hiki kilipendekezwa na kukubaliwa na wizara ya elimu na michezo kwa matumizi katika shule za sekondari nchini Uganda ili kumwongoza mwalimu katika ufundishaji. Kinakidhi malengo na mahitaji yote ya mtaala mpya wa Kiswahili kwa shule za sekondari nchini Uganda. Kwa hiyo, mwalimu anafaa kukifuatilia kama mwongozo mwafaka wakati wa kutekeleza ufundishaji wa Kiswahili katika kidato cha tatu.
Mwongozo huu wa Kiswahili wa Longhorn kwa mwalimu wa kidato cha tatu una ufumbuzi wa kipekee kwa vile unamsaidia mwalimu kutekeleza na kuendeleza mfululizo wa mafunzo ya Kiswahili kwa matumizi ya mbinu zinazohusisha wanafunzi kushiriki kikamilifu katika mafunzo yanayotolewa darasani ipasavyo kwa: mafunzo yaliyopangwa kiutaratibu kuhusu dhana zinazohusika, maelezo mwafaka ya matini zilizounganishwa vyema kwa uelewa wa wanafunzi, shughuli kadha wa kadha za kufanywa ndani na nje ya darasa kuwasaidia wanafunzi kuwa na ari ya udadisi, matumizi ya vifaa vya kawaida vinavyojulikana kwa wanafunzi katika mazingira yao, mazoezi mwafaka yanayoandamana na mafunzo na shughuli jumlishi mwishoni mwa mada kuu husika pamoja na mkakati mwafaka wa kirafiki unaolenga wanafunzi kuwa washiriki katika mchakato wa kujifunza.
Longhorn imeandaa mwongozo huu wa mwalimu wa kidato cha tatu ili kumwezesha mwalimu kukuza umilisi wa wanafunzi wa kuelewa dhana madhubuti, kudadisi na kupata maarifa, na mahitaji yote ya mtaala mpya ili kuwe na matokeo bora ya silabasi ya Kiswahili kwa kidato cha tatu.
Wandishi wa kitabu hiki cha mwongozo wa mwalimu ni walimu hodari wa Kiswahili ambao wamefundisha Kiswahili darasani kwa miaka mingi. Uzoefu wao umechangia sana katika usanifu wa mwongozo huu wa kuridhisha.
Related products
-
Art and Design, Learner’s Book senior 3
UGX 18,000Longhorn Secondary Art and Design, Learner’s Book senior 3, is a new course Learner-Instruction Book that has been recommended by the Ministry of Education and Sports, for use in Uganda Secondary Schools. It fulfils all the goals and targets of the Lower Secondary Art and Design Curriculum in Uganda, which the learner must follow for effective execution of the course content.
Longhorn Secondary Art and Design, Learner’s Book senior 3, is unique, in that it allows a thorough implementation of all course content by the learners, while using all learner-centered teaching methodologies, which in turn, promote the participation for all, in learning Art and Design through:
- Well-organised topics which are sequentially presented, to allow transition from one concept to the next.
- Demonstrative integration of text and illustrations to boost understanding.
- Numerous indoor and outdoor activities which are investigative.
- Experimentation and demonstration using locally available materials.
- Work-to-do exercises within the activities and at the end.
- Art and Design -related games which make learning Art and Design interesting, and enjoyable for all.
- A user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment for easier understanding of the concepts.
Longhorn Secondary Art and Design, Learner’s Book Senior 3, is detailed and comprehensively covers all the Learning outcomes tabulated in the Senior 3 Art and Design syllabus. The authors are experts in Art and Design, and are classroom teachers, who have taught Art and Design for many years. They have brought their vast experience into play in this book.
-
Longhorn Secondary Art & Design SB 3
UGX 18,000Longhorn Secondary Art & Design SB 3
Author : Hellen Nakibuuka, Anthony Kiyaga -
Longhorn Secondary Geography, Teacher’s Guide senior 3
UGX 30,000Longhorn Secondary Geography, Teacher’s Guide senior 3, is a new course teacher-Instruction Book that has been recommended by the Ministry of Education and Sports, for use in Uganda Secondary Schools. It fulfils all the goals and targets of the Lower Secondary Geography Curriculum in Uganda, which the teacher must follow for effective execution of the course content.
Longhorn Secondary Geography, Teacher’s Guide senior 3, is unique, in that it allows a thorough implementation of all course content by the teachers, while using all learner-centered teaching methodologies, which in turn, promote the participation for all, in learning Geography through:
- Well-organised topics which are sequentially presented, to allow transition from one concept to the next.
- Demonstrative integration of text and illustrations to boost understanding.
- Numerous indoor and outdoor activities which are investigative.
- Experimentation and demonstration using locally available materials.
- Work-to-do exercises within the activities and at the end.
- Geography -related games which make learning Geography interesting, and enjoyable for all.
- A user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment for easier understanding of the concepts.
Longhorn Secondary Geography, Teacher’s Guide Senior 3, is detailed and comprehensively covers all the Learning outcomes tabulated in the Senior 3 Geography syllabus. The authors are experts in Geography, and are classroom teachers, who have taught Geography for many years. They have brought their vast experience into play in this book.
-
Biology, Learner’s Book senior 3
Longhorn Secondary Biology, Learner’s Book senior 3, is a new course Learner-Instruction Book that has been recommended by the Ministry of Education and Sports, for use in Uganda Secondary Schools. It fulfils all the goals and targets of the Lower Secondary Biology Curriculum in Uganda, which the learner must follow for effective execution of the course content.
Longhorn Secondary Biology, Learner’s Book senior 3, is unique, in that it allows a thorough implementation of all course content by the learners, while using all learner-centered teaching methodologies, which in turn, promote the participation for all, in learning Biology through:
- Well-organised topics which are sequentially presented, to allow transition from one concept to the next.
- Demonstrative integration of text and illustrations to boost understanding.
- Numerous indoor and outdoor activities which are investigative.
- Experimentation and demonstration using locally available materials.
- Work-to-do exercises within the activities and at the end.
- Biology-related games which make learning Biology interesting, and enjoyable for all.
- A user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment for easier understanding of the concepts.
Longhorn Secondary Biology, Learner’s Book Senior 3, is detailed and comprehensively covers all the Learning outcomes tabulated in the Senior 3 Biology syllabus. The authors are experts in Biology, and are classroom teachers, who have taught Biology for many years. They have brought their vast experience into play in this book.
UGX 25,000Original price was: UGX 25,000.UGX 22,000Current price is: UGX 22,000. -
Mathematics, Learner’s Book senior 3
UGX 25,000Longhorn Secondary Mathematics, Learner’s Book senior 3, is a new course Learner-Instruction Book that has been recommended by the Ministry of Education and Sports, for use in Uganda Secondary Schools. It fulfils all the goals and targets of the Lower Secondary Mathematics Curriculum in Uganda, which the learner must follow for effective execution of the course content.
Longhorn Secondary Mathematics, Learner’s Book senior 3, is unique, in that it allows a thorough implementation of all course content by the learners, while using all learner-centered teaching methodologies, which in turn, promote the participation for all, in learning Mathematics through:
- Well-organised topics which are sequentially presented, to allow transition from one concept to the next.
- Demonstrative integration of text and illustrations to boost understanding.
- Numerous indoor and outdoor activities which are investigative.
- Experimentation and demonstration using locally available materials.
- Work-to-do exercises within the activities and at the end.
- Mathematics -related games which make learning Mathematics interesting, and enjoyable for all.
- A user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment for easier understanding of the concepts.
Longhorn Secondary Mathematics, Learner’s Book Senior 3, is detailed and comprehensively covers all the Learning outcomes tabulated in the Senior 3 Mathematics syllabus. The authors are experts in Mathematics, and are classroom teachers, who have taught Mathematics for many years. They have brought their vast experience into play in this book.
Reviews
There are no reviews yet.